Thursday 26 December 2013

ALLAN CUURBISHLEY, BOSI MPYA FULHAM.

Allan Curbishley, Bosi mpya wa timu ya soka ya Fulham ya England.







Curbishley: Bosi wa zamani wa West Ham na Charlton ajiunga na Fulham.

Na. Deo Kaji Makomba.

Nchini England, Alan Curbishley ameteuliwa kuwa mkurugenzi katika benchi la ufundi kwenye klabu ya soka ya Fulham iliyoko ligi kuu soka ya England inayoendelea kutimka vumbi hivi sasa. 

 Alan ambaye pia aliwahi kuwa bosi wa klabu ya soka ya Charlton, amerejea zaidi ya mara tano katika klabu ya soka baada ya kuiacha West Ham.

Alan mwenye umri wa miaka 56, mara baada ya kuelezwa atakuwa meneja ajaye wa timu ya taifa ya England, ameunganisha nguvu zake na Rene Meulenteen, ambaye alichukuwa mikoba ya Martin Jol kama meneja wa klabu hiyo, mapema mwezi huu.

“Alan anayo rekodi nzuri na anaelewa vyema nini atafanya kufikia mafanikio,” alisema Meulensteen.
Fullham, wanaowakabili Norwich kwenye uwanja wa Carrow Road siku hii ya Boxing day, hivi sasa wako katika nafasi ya 19 kwenye msimamo wa ligi kuu soka ya England inayoendelea kuchanja mbuga hivi sasa.




UFUATAO NI MSIMAMO WA LIGI KUU YA SOKA YA ENGLAND HADI  HIVI SASA, KABLA YA MECHI ZA LEO MCHANA.

Position
Team
Played
Goal Difference
Points


1
17
23
36
2
17
16
36
3
17
31
35
4
17
14
34
5
17
13
34
6
17
2
30
7
17
-5
30
8
17
8
28
9
17
4
24
10
17
-4
21
11
17
0
20
12
17
-6
20
13
17
-6
19
14
17
-14
19
15
17
-12
17
16
17
-5
16
17
17
-8
14
18
17
-16
13
19
17
-17
13
20
17
-18
10






































































































No comments:

Post a Comment