Tuesday 30 July 2013

NALO KANDANDA LA WANAWAKE HUKO BARANI ULAYA !



WANAWAKE WA UJERUMAN WATAWAZWA MABINGWA WA SOKA BARANI ULAYA MWAKA HUU.

Na. deo kaji makomba

Mlinda mlango wa timu ya soka ya taifa ya wanawake ya Ujerumani, Nadine Angerer aliokoa mikwaju muiwili ya penalt na kusaidia taifa lake kuweza kutwaa ubingwa wa Ulaya kwa upande wa wanawake kwa mafanikio mara sita.

Wanawake wa Ujerumani wametwaa uchampion huo kwa kuwavurumsha Norway kwa mikwaju ya penalt katika mechi ya fainali uliopigwa mjini Stockholm Sweden.
 Mlindamlango wa timu ya taifa ya wanawake ya ujerumani, Nadine Angerer, akishangilia ushindi. Nadine aliokoa penalti mbili katika mchezo wa fainali wa Euro kwa wanawake.

No comments:

Post a Comment