Friday 21 June 2013

MABONDIA WA TANZANIA WAHUKUMIWA MIAKA 15 JELA NCHINI MAURTIUS


·        Ni baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha ‘Unga’ aina ya heroin
·        Ni wale waliokwenda katika mashindano ya ngumi Afrika 2008.

Na. Deo Kaji Makomba kwa msaada wa mashirika ya habari

Hatimaye mabondia wanne wa Tanzania, wamehukumiwa miaka 15 kwenda jela huko nchini Maurtius, baada ya kukiri kujihusiha na usafirishaji madawa haram ya kulevya aina ya heroin.

Mabondia hao wameiambia mahaka nchini humo kuwa walikuwa wakisafirisha madawa hayo aina ya heroin hadi Maurtius kwa sababu walikuwa wanahitaji pesa kwa ajili ya kusaidia familia zao. Soma habari hii kwa undani zaidi>>>>Ukurusa wa sports

No comments:

Post a Comment