Saturday 22 June 2013

LIVER WAFANYA MIPANGO KUMSAJIRI KIPA WA SUNDERLAND


·         Ni Simon Mignolet
                
Na. Deo Kaji Makomba

Barani ulaya uongozi wa majongoo wa London timu ya Liverpool wako katika mpango wa kumsajili mlinda mlango wa timu ya soka ya Sunderland, Simon Mignolet kwa dau la paundi milioni tisa, mchakato mzima ukitarajiwa kufanyika wiki ijayo. 
Habari hii kwa kina inaendelea katika ukurasa wa Sports.>>>>>>>>>

No comments:

Post a Comment